
Tunakwenda kucheza Robo Fainali ya nne ya Ligi ya Mabingwa Machi 29
Ijumaa ya Machi 29 kikosi chetu kitacheza mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly mtanange utakaopigwa Uwanja wa

Ijumaa ya Machi 29 kikosi chetu kitacheza mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly mtanange utakaopigwa Uwanja wa

Kikosi chetu kimefanikiwa kupata pointi tatu katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Azam Complex Chamazi. Tulianza

Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kikosi

Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia

Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amerejea nchini leo na jioni amekiongoza kikosi kwenye mazoezi ya mwisho kuelekea mchezo wetu wa kesho wa Ligi Kuu

Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema wakati ligi ikiwa imeingia mzunguko wa pili kila timu inajipanga kuhakikisha inakusanya pointi ili kujiweka kwenye nafasi nzuri zaidi.

Wachezaji wetu watano wameitwa kwenye timu zao Taifa zinazojiandaa na michuano mipya ya FIFA Series 2024 itakayofanyika nchini Azerbaijan. Nyota wanne wameitwa katika timu

Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Fountain Gate uliopigwa Uwanja wa Azam Complex umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa mabao

Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Droo ya hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekakilmilika na tumepangwa na miamba ya soka Al Ahly kutoka Misri. Mchezo wa