Timu yarejea Dar na kuunganisha Ruangwa
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam mchana huu kutoka Zanzibar na moja kwa moja kimeunganisha Ruangwa kwa ajili mchezo wa Ligi Kuu NBC
Kikosi chetu kimerejea jijini Dar es Salaam mchana huu kutoka Zanzibar na moja kwa moja kimeunganisha Ruangwa kwa ajili mchezo wa Ligi Kuu NBC
Nyota wetu wawili kiungo mkabaji Fabrice Ngoma na mlinda mlango Ayoub Lakred wameng’ara katika michuano ya Kombe la Muungano iliyomalizika Visiwani Zanzibar. Ngoma ameibuka
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ubingwa wa michuano ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Azam FC katika mchezo uliopigwa Uwanja wa New Amaan
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano.
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano.
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wa kesho wa fainali ya michuano ya Kombe la Muungano dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu kutokana na
Kocha Mkuu wa Simba Queens Juma Mgunda amesema licha ya ushindi wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya Yanga Princess lakini haikuwa mechi rahisi. Mgunda
Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania
Leo saa 10 jioni kikosi chetu cha Simba Queens kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex Chamazi kuikabili Yanga Princess katika mchezo wa Ligi Kuu
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Muungano baada ya kuifunga KVZ mabao 2-0 katika mchezo uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex. Katika