read
news & Articles
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/4d71969c-7caa-4343-8ff5-171dcb795953-300x200.jpeg)
Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA
Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi B katika michuano ya kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/452838053_18431512030071034_5189471302510632751_n-300x200.jpg)
Tumezindua jezi zetu za msimu wa 2024/25 Mikumi
Leo tumezindua jezi kwa tutakazotumia katika msimu mpya wa mashindano 2024/25 ambao utaanza mapema mwezi ujao. Uzinduzi wa jezi hizo bora na za kisasa zimefanywa
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/452711808_18431479168071034_4036664672250732336_n-300x200.jpg)
King Kiba kutumbuiza Simba Day
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally, amemtangaza nguli wa Bongo Fleva, Ally Kiba kuwa mtumbuizaji mkuu kwenye Tamasha la Simba Day litakalofanyika katika
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/452478386_18431452207071034_5039628350371713643_n-300x200.jpg)
CEO Kajula aongoza safari ya Moro
Mtendaji Mkuu, Imani Kajula amewaongoza Wansimba kwenye safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya uzinduzi wa Wiki ya Simba. CEO Kajula ameongozana na Viongozi
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/156A7691-300x200.jpg)
Rweyemamu Meneja mpya wa timu
Patrick Rweyemamu ndiye Meneja mpya wa timu akichukua nafasi ya Mikael Igendia ambaye mkataba wake umemalizika. Rweyemamu anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya kupita mwaka
![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/e80de067-b2a6-4a78-bdda-ab66e22a78e5-300x200.jpeg)
Tumepata ushindi dhidi El Qanah
Mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya El Qanah FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri uliopigwa katika Uwanja wa Canal Suez umemalizika kwa kuibuka
![](https://simbasc.co.tz/storage/2023/09/Lakred-scaled.jpg)