read
news & Articles

Robertinho, Abel wazungumzia mchezo wa kesho dhidi ya Prisons
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumejiandaa vizuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine

Hawa hapa nyota 22 wanaoifuata Prisons
Kikosi kinaelekea jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine siku ya Alhamisi saa

Timu yarejea mazoezini, Kuifuata Prisons Jioni
Kikosi kimefanya mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Alhamisi saa 10 jioni katika Uwanja wa

Robertinho: Nimefurahi kuiwezesha timu kuingia makundi Afrika
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema lengo la kwanza lilikuwa kuhakikisha timu inaingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuitoa Power Dynamos

Tumefuzu hatua ya makundi Afrika
Licha ya sare ya kufungana bao moja dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa Azam Complex

Kikosi kilichopangwa kuikabili Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Power Dynamos kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
