read
news & Articles

Timu yawasili Singida
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Singida kutoka Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC unaofuata dhidi ya Ihefu FC. Meneja Habari na

Tumetolewa CRDB Bank Federation Cup
Mchezo wetu wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika kwa

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Kigoma
Nyota wote 26 tuliosafiri nao kuja Kigoma kwa ajili ya mchezo wa kesho wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya

Alichosema Benchikha baada ya kutua Dar
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema tulipopoteza mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Ahly tuliongeza ugumu mechi ya marudiano na ndio maana tumetolewa. Benchikha amesema

Ahmed: Hatujilaumu, bali tumejifunza
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema hatujilaumu kwa kutolewa na Al Ahly katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika