read
news & Articles

VIDEO: Kibadeni afunguka kilichoinyima Ubingwa Simba mwaka 1993
Nyota wazamani na nahodha wa kikosi chetu, Abdallah Kibadeni amesema moja ya sababu iliyofanya kushindwa kutwaa ubingwa wa Afrika mwaka 1993 dhidi ya Stella Club

VIDEO: Alichosema Ahmed baada ya dua ya Hayati Ali Hassan Mwinyi
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo la kutembelea na kufanya Dua katika kaburi la Hayati Rais wa pili wa Jamhuri ya

VIDEO: Ahmed awaomba watoto wa Montessori kutuombea Dua Maalum ya ubingwa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amewaomba watoto wa Shule ya Montessori kutuombea Dua Maalum itakayotuwezesha kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika

VIDEO: Magoso, Masatu wasimulia fainali ya mwaka 1993
Walinzi wetu wa kati wazamani, Fikiri Magoso na George Masatu wamesimulia mchezo wa fainali tuliyocheza mwaka 1993 na jinsi maandalizi ya yalivyokuwa huku wakisema hakuna

Tumefanya maajabu mengi na Jumapili haitakuwa kitu kipya
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema katika miaka ya karibuni tumewahi kufanya maajabu makubwa ya kupindua matokeo ambayo wengi walidhani haitawezekana tena

Walionunua tiketi za fainali ya Kombe Shirikisho kuzitumia Simba Day
Uongozi wa klabu umesema mashabiki 16,000 waliokuwa tayari wamenunua tiketi kwa ajili ya kushuhudia mchezo wa marudiano wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika katika
