Queens yapata ushindi dhidi ya Ceasiaa
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kupata ushindi wa bao moja dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kupata ushindi wa bao moja dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema changamoto yetu kubwa iliyopo kwenye kikosi chetu ni kumalizia nafasi tunazotengeneza. Benchikha amesema kila mchezo tunacheza vizuri na kumiliki
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu FC uliopigwa Uwanja wa Liti mkoani Singida umemalizika kwa sare ya kufungana bao moja.
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Liti mkoani Singida kuikabili Ihefu FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Liti mkoani Singida kuikabili Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia
KIkosi chetu kimefanya mazoezi mwisho katika Uwanja wa Liti hapa Singida tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu
Kocha Msaidizi Seleman Matola amewaita mashabiki kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Liti kesho kwa ajili ya kuisapoti timu kwenye mchezo wa kesho wa
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Singida kutoka Kigoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC unaofuata dhidi ya Ihefu FC. Meneja Habari
Mchezo wetu wa hatua ya 16 bora ya CRDB Bank Federation Cup dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa hatua ya 16 bora