
Tumechukua Pointi tatu za Kagera
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa KMC
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa KMC
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Kagera Sugar kwenye mchezo wa mzunguko wa 30 wa Ligi Kuu
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wa kesho dhidi ya Kagera Sugar utakuwa mgumu lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda na kuchukua pointi tatu muhimu. Matola
Kiungo mshambuliaji Kibu Denis amesema licha ya ushindi wa mabao 5-0 tuliopata dhidi ya Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kengold uliopigwa katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora umemalizika kwa kuibuka na ushindi
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuikabili Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Fadlu
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mkoani Tabora kuikabili Kengold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.
Kocha Msaidizi, Seleman Matola ameweka wazi kuwa pamoja na Kengold kuwa wameshuka daraja lakini hatutawadharau kwakuwa tunahitaji kupata alama tatu muhimu ugenini. Matola
Kikosi chetu kimewasili salama mkoani Tabora tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kengold utakaopigwa Uwanja wa Ali Hassan