
Tumetinga Robo Fainali CRDB Federation Cup
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bigman katika
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga robo fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Bigman katika
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Bigman katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya michuano ya
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Gets Program katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) uliopigwa Uwanja
Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa John Merlins kuikabili Gets Program katika muendelezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL). Nyota wawili
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunavuka hatua ya robo fainali na kutinga nusu fainali.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mchezo wetu marudiano wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika ambao umepangwa
Kaimu Mtendaji Mkuu wa Klabu, Zubeda Sakuru amewasisitiza Wanasimba wanaomiliki vyombo vya moto kujaza mafuta Lake Energies kwakuwa watakuwa wanasaidia kupatikana kwa mapato ya
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewasisitiza Wanachama wa Klabu wanaomiliki vyombo vya moto kuweka mafuta katika vituo vya Lake Energies kwakuwa
Meneja wa Kampuni ya uuzaji wa mafuta ya petroli, Diesel na Ndege ya Lake Energies, Muharami Mdemi amesema wamefurahi ushirikiano waliongia na klabu wa
Kikosi cha Simba Queens kimeondoka asubuhi kuelekea jijini Dodoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) dhidi ya Gets Program