
VIDEO: Dkt. Kagabo aelezea hali ya majeruhi kikosini
Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema wachezaji wote waliokuwa majeruhi wamerejea kikosini na wapo tayari kwa ajili ya mechi zilizopo mbele yetu. Mlinda mlango
Daktari wa timu, Edwin Kagabo amesema wachezaji wote waliokuwa majeruhi wamerejea kikosini na wapo tayari kwa ajili ya mechi zilizopo mbele yetu. Mlinda mlango
Taasisi ya Super Brand imeitangaza klabu yetu ya kuwa Brand bora namba moja ya michezo nchini katika kipindi cha mwaka 2024-26. Simba tumekuwa vinara
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema kikosi kimerejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Yanga utakaopigwa Juni
Mchezo wetu wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup uliopigwa uwanja wa Tanzanite Kwaraa umemalizika kwa kupoteza kwa mabao 3-1 na kushindwa kutinga fainali.
Leo saa 9:30 jioni tutashuka dimbani kuikabili Singida Black Stars katika mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup katika mtanange utakaopigwa Uwanja wa
Nyota wetu saba wameitwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi za kirafiki za Kimataifa pamoja
Kocha Mkuu Fadlu Davids amechaguliwa kocha bora wa Ligi Kuu ya NBC kwa mwezi Mei. Fadlu amewapiku Miloud Hamdi wa Yanga na Rachid Toussi
Kocha Msaidizi, Seleman Matola ameweka wazi kuwa pamoja na ubora walionao Singida Black Stars tumejipanga vizuri kuhakikisha tunashinda mchezo wa kesho na kutinga fainali
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Arusha tayari kwa mchezo wa nusu fainali ya michuano ya CRDB Federation Cup dhidi ya Singida Black Stars utakaopigwa
Bao pekee lililofungwa na Steven Mukwala limetosha kutupa alama tatu mbele ya Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja