
CEO Kajula aweka wazi mipango ya Utendaji wake
Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula ameweka wazi mipango ya Utendaji wake mbele ya wanachama katika Mkutano Mkuu baada ya kupewa jukumu hilo
Mtendaji Mkuu wa Klabu, Imani Kajula ameweka wazi mipango ya Utendaji wake mbele ya wanachama katika Mkutano Mkuu baada ya kupewa jukumu hilo
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ amewaahidi wanachama, wapenzi na mashabiki kuwa kikosi kinaendelea kuboreshwa na mataji ambayo tuliyopoteza tutayarejesha.
Mgeni Rasmi wa Mkutano Mkuu wa Klabu ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amosi Makala amesema mafanikio tuliyopata katika kipindi
Mgeni Rasmi wa Mkutano wetu mkuu ambao utaanza muda mfupi ujao Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh. Amos Makala amewasili Ukumbi wa
Kocha Msaidizi, Juma Mgunda amesema kabla ya mchezo wetu wa hatua ya tatu ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Coastal Union tulitegemea kupata
Ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Coastal Union umetuwezesha kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Azam Sports Federation Cup kwenye
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Coastal Union kwenye mchezo wa hatua ya tatu ya Azam
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena tayari kwa mchezo wa kesho wa Azam Sports Federation Cup (ASFC)
Meneja wa Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally ameiongoza Idara yake kutoa zawadi ya jezi kwa kuipongeza Azam TV kufikisha miaka 10 ya kurusha matangazo
Uongozi klabu umefikia makubaliano ya kumuajiri Ndugu Imani Kajula kuwa Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) Kajula anachukua nafasi iliyoachwa na Barbara Gonzalez ambaye alijiuzulu nafasi