VIDEO: Fadlu asema tulistahili kushinda dhidi ya Bravos
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema amefurahi kwa kufuzu Robo Fainali Shirikisho Afrika tukiwa na mchezo mkononi lakini ameweka wazi tulistahili kupata ushindi mnono dhidi
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema amefurahi kwa kufuzu Robo Fainali Shirikisho Afrika tukiwa na mchezo mkononi lakini ameweka wazi tulistahili kupata ushindi mnono dhidi
Sare ya kufungana bao tuliyopata ugenini dhidi ya Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa hatua ya makundi umetufanya kufuzu moja kwa moja
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola kuikabili Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa hatua
Saa moja usiku wa leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola kuikabili Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Novemba 11 tayari kwa mchezo watano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo watano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema kikosi chetu leo jioni kitafanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Novemba 11 hapa Angola
Kikosi chetu kimefika salama nchini Angola kwa ajili ya mchezo wa tano wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos
Alfajiri ya kesho kikosi cha Wachezaji 22 benchi la ufundi pamoja na baadhi ya watu kutoka kwenye Menejimeti wataanza safari kuelekea nchini Angola kwa
Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo Greyson Msigwa amewaambia wachezaji kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. Samia Suluhu Hassan anawapongeza