![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/4d71969c-7caa-4343-8ff5-171dcb795953-scaled.jpeg)
Queens yapangwa kundi B michuano ya CECAFA
Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi B katika michuano ya kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati
Timu yetu ya Simba Queens imepangwa kundi B katika michuano ya kufuzu fainali za Afrika kwa Wanawake kutoka Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati
Leo tumezindua jezi kwa tutakazotumia katika msimu mpya wa mashindano 2024/25 ambao utaanza mapema mwezi ujao. Uzinduzi wa jezi hizo bora na za kisasa
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally, amemtangaza nguli wa Bongo Fleva, Ally Kiba kuwa mtumbuizaji mkuu kwenye Tamasha la Simba Day litakalofanyika
Mtendaji Mkuu, Imani Kajula amewaongoza Wansimba kwenye safari ya kuelekea mkoani Morogoro kwa ajili ya uzinduzi wa Wiki ya Simba. CEO Kajula ameongozana na
Patrick Rweyemamu ndiye Meneja mpya wa timu akichukua nafasi ya Mikael Igendia ambaye mkataba wake umemalizika. Rweyemamu anarejea kwenye nafasi hiyo baada ya kupita
Mchezo wetu wa kirafiki dhidi ya El Qanah FC inayoshiriki Ligi Daraja la Pili nchini Misri uliopigwa katika Uwanja wa Canal Suez umemalizika kwa
Kikosi chetu kimeendelea na mazoezi leo kwa kufanya awamu moja tu ya jioni kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano hapa Ismalia
Kiungo mshambuliaji Awesu Awesu amesema ndoto yake ya siku nyingi ya kuchezea Simba imetimia rasmi leo na ni jambo la furaha kwake. Awesu amesema
Mlinzi wa kulia, David Kameta ‘Duchu’ amesema kambi yetu ya maandalizi inayoendelea nchini Misri inazidi kuwamairisha kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25. Duchu amesema
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza tutacheza dhidi ya watani wetu wa jadi Yanga katika mchezo wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa