Kauli ya Benchikha kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly
Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewaomba mashabiki wa maeneo ya Mbande, Kisewe na Chanika Mbondele kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa
Kikosi chetu kimerejea kutoka Visiwani Zanzibar kilipoweka kambi ya siku chache kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya
Zimebaki siku tano kuelekea mchezo wetu wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Machi 29 Uwanja wa Benjamin
Timu yetu ya Simba Queens imeibuka na ushindi mnono wa mabao 14-0 dhidi ya Kinondoni Queens katika mchezo wa kirafiki uliopigwa Uwanja wa Mo
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amemkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Wallace Karia jezi rasmi ambayo ataivaa katika mchezo
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally ameweka wazi mipango ya klabu ni kuhakikisha timu inatinga nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Kikosi chetu kimefanya mazoezi usiku huu katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa
Kwa kushirikiana na Benki ya CRBD leo tumezindua Mtandao Mpya wa Simba Executive Networks ambao lengo lake kubwa ni kukusanya pesa kuendeleza miundombinu ya
Kikosi chetu kimewasili salama Visiwani Zanzibar tayari kwa kambi ya wiki moja kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi