read
news & Articles
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Levy Mwanawasa
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Levy Mwanawasa tayari kwa mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Power Dynamos. Kwa
Mangungu awapokea mashabiki Ndola
Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mangungu amewapokea mashabiki waliosafiri kutoka jijini Dar es Salaam kuja Ndola, Zambia kuipa sapoti timu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa
Nyota 23 wapaa kuifuata Power Dynamos
Kikosi cha wachezaji 23 kimeondoka jijini Dar es Salaam mchana kuelekea Zambia tayari kwa mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power
Waliokuwa Stars wajiunga na wenzao mazoezini
Nyota wanne ambao walisafiri na kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kuelekea Algeria leo wamejiunga na wenzao na kufanya mazoezi jioni. Nyota
Mchezo wetu dhidi ya Coastal kupigwa Septemba 21
Mchezo wetu wa Ligi ya NBC ambao ulikuwa haujapangiwa tarehe dhidi ya Coastal Union sasa utapigwa Septemba 21 katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam
Phiri: Kusafiri na Mashabiki kwenda Ndola kunatupa hamasa wachezaji
Mshambuliaji, Moses Phiri amesema kitendo cha mashabiki kusafiri kutoka jijini Dar es Salaam kwenda Ndola, Zambia itawapa wachezaji hamasa kuelekea mchezo wa Jumamosi wa Ligi