read
news & Articles
Alichosema Robertinho kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Coastal
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union
Timu yawasili salama Dar
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam kutoka Ndola; Zambia baada ya kucheza mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power
Robertinho: Tumepoteza nafasi tano za kufunga Leo
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumepoteza nafasi tano za wazi za kufunga katika sare ya 2-2 dhidi ya Power Dynamos ambazo zingetuwezesha kupata ushindi
Tumenza kwa sare ugenini dhidi ya Power Dynamos
Kikosi chetu kimepata sare ugenini ya mabao 2-2 dhidi ya Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika katika Uwanja wa
Kikosi Kitakacho tuwakilisha dhidi ya Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Levy Mwanawasa kuikabili Power Dynamos katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Hii
Tunatupa karata yetu ya kwanza Ligi ya Mabingwa Leo
Kikosi chetu leo kitaanza kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kucheza na Power Dynamos katika mchezo utakaopigwa katka Uwanja wa Levy Mwanawasa, Ndola; Zambia.