read
news & Articles
Kikosi kilichopangwa kuikabili Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Power Dynamos kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Tabiri Kikosi kitakachopangwa dhidi ya Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Power Dynamos kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Weka
Leo tunamaliza kazi tuliyoianza Ndola
Baada ya kupita majuma mawili leo tunakamilisha kazi tuliyoianza Ndola, Zambia kwa kuikaribisha Power Dynamos katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena tayari kwa mchezo wa kesho wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi
Robertinho: Tumejipanga kuingia hatua ya makundi kesho
Licha ya kutegemea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Power Dynamos katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaopigwa kesho Azam Complex saa 10
CAF yazipitisha Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa AFCON 2027
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limezipitisha nchi za Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa Fainali za AFCON mwaka 2027. Nchi hizo za Afrika Mashariki zimeamua