read
news & Articles
Ahmed: Power Dynamos wanatua kesho
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema wapinzani wetu Power Dynamos kutoka Zambia wanatarajia kuwasili nchini kesho saa 12 jioni. Ahmed amesema msafara
Ahmed awaomba mashabiki kununua tiketi za Jumapili mapema
Meneja Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amewaomba mashabiki kununua tiketi mapema za mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos
Tumepata ushindi dhidi ya Pan African
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Pan African katika mchezo wa kirafiki uliofanyika Uwanja wa Mo Simba Arena. Mchezo huu
Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Power Dynamos
Kikosi chetu kimeanza mazoezi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos utakaopigwa Jumapili katika Uwanja wa Azam
VIDEO: Ahmed aelezea ajali aliyopata Che Malone usiku wa kuamkia leo
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema mlinzi wa kati, Che Fondoh Malone hajaumia popote kwenye ajali aliyopata usiku wa kuamkia leo eneo
Robertinho: Tumeitumia Coastal kujiandaa na Power Dynamos
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema tumeutumia mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union kujiandaa na mechi ya marudiano ya