read
news & Articles
Motsepe: AFL imekuja kuongeza uchumi wa klabu
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Patrick Motsepe amesema lengo la michuano ya African Football League (AFL) ni kuzisaidia klabu za Afrika kiuchumi.
Tunaenda kuandika historia kwa Mkapa leo
Historia mpya ya soka inawekwa leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo kikosi chetu kitakutana na miamba ya Misri, Al Ahly katika uzinduzi wa michuano
Robertinho: Sina presha na mchezo wa kesho
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ameweka wazi kuwa hana presha yoyote kuelekea mchezo wa kesho wa ufunguzi wa michuano ya African Football League (AFL) dhidi
Bocco awataja mashabiki mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly
Nahodha wa timu, John Bocco amesema licha ya ugumu tutakaoupata kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly lakini uwepo wa mashabiki ambao watakuja kwa
Goli la mama larejea AFL
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni na Michezo, Gerson Msigwa amesema Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan ataendelea kutoa pesa ‘goli la mama’ kwa
Ahmed: Hatukupewa nafasi ya kufungua AFL kwa bahati mbaya
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amesema Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetupa uwenyeji wa kufungua michuano ya African Football League (AFL)