read
news & Articles
Tupo ugenini Marakkech Leo
Kikosi chetu leo saa nne usiku kitashuka katika Uwanja wa Marrakech kuikabili Wydad Casablanca katika mchezo wa tatu wa hatua ya makundi ya Ligi ya
Queens yafanya mazoezi ya mwisho
Timu yetu ya Simba Queens imeifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Boko Veterans kujiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga Princess
Kauli ya kocha Mgosi kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Yanga Princess
Kocha Msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga Princess utakaopigwa saa 11
Timu yafanya mazoezi ya kwanza Morocco
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya kwanza katika Uwanja wa Marrakech kujiandaa na mchezo wa Jumamosi wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca.
Timu yatua salama Marrakech
Kikosi chetu kimewasili salama katika mji wa Marrakech nchini Morocco tayari kwa mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa
Tumechangia Wahanga wa mafuriko Hanang
Klabu yetu leo imekabidhi msaada kwa ajili ya wahanga wa mafuriko na maporomoko yalitokea katika Wilaya ya Hanang mkoani Manyara mwishoni mwa juma lililopita. Mwenyekiti