read

news & Articles

Timu kurejea mazoezini leo

Kikosi chetu leo jioni kitarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco

Benchikha: Tulistahili pointi tatu

Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume tulistahili kupata alama

Tumepata sare ugenini

Mchezo wetu wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy uliopigwa Uwanja wa Obeid Ituni Chilume nchini Botswana

Tupo Obeid Ituni Chilume Leo

Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Obeid Ituni Chilume kuibali Jwaneng Galaxy katika mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya

Queens yaichapa Ilala

Timu yetu ya Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya Ilala Queens katika mchezo wa kirafiki iliyofanyika Uwanja wa Veterani uliopo

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC