read
news & Articles

Tumeviweka hadharani viingilio vya mchezo dhidi ya ASEC
Novemba 25 kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya

Ahmed: Tunawahitaji sana mashabiki Novemba 25
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amewasisitiza mashabiki kujitokeza kwa wingi Novemba 25 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wa kwanza wa

Wachezaji wasiojituma watapigwa ‘Thank You’
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Salim Abdallah ‘Try Again’ ameweka wazi kuwa wachezaji ambao hawataonyesha uwezo wao na kujituma uwanjani hawatuvumiliwa hivyo wataachwa. Try Again

Simba Queens waanza mazoezi kujiandaa na SLWPL
Kikosi cha timu yetu ya wanawake ya Simba Queens kimeanza mazoezi kujiandaa na Ligi kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) ambayo

Tumezindua Chaneli ya Whatsapp
Klabu yetu imekuwa ya kwanza katika Ukanda wa Afrika Mashariki kuzindua Chaneli yake ya Whatsapp kwa ajili ya kuwasiliana na mashabiki wetu moja kwa moja.

Timu yaanza mazoezi kujiwinda na ASEC
Kikosi chetu kimerejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas kutoka Ivory Coast utakaopigwa Uwanja wa Benjamin