read
news & Articles
Alichosema Benchikha baada ya ushindi dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amewasifu wachezaji kwa kucheza vizuri katika ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC
Tumepata alama tatu mbele ya Kagera
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar uliopigwa Uwanja wa Uhuru umemalizika kwa kupata ushindi wa mabao 3-0. Tulianza mchezo kwa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Kagera Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha
Tabiri kikosi kitakachopagwa dhidi ya Kagera Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tabiri hapa kikosi ambacho
Tumerejea NBCPL
Baada ya kupita mwezi mzima leo tumerejea kwenye Ligi Kuu ya NBC na tunaikaribisha Kagera Sugar katika mchezo ambao utapigwa Uwanja wa Uhuru saa 10
Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Kagera