read
news & Articles
Kauli ya Kocha Gomez baada ya kutinga Robo Fainali
Kocha Mkuu, Didier Gomez amefurahishwa na uwezo ulioonyeshwa na wachezaji wetu uliofanikisha ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya AS Vita na kutufanya kutinga Robo Fainali
Simba hiyooo Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
Ushindi wa mabao 4-1 tuliopata dhidi ya AS Vita kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa leo, umetufanya kuingia kwa kishindo hatua ya Robo Fainali ya Ligi
Mkude, Morrison kuanza dhidi ya Vita leo
Kiungo mkabaji, Jonas Mkude na Winga Bernard Morrison leo wamepangwa kuanza kwenye kikosi kitakachoshuka dimbani kuikabili AS Vita kwenye mchezo wa tano hatua ya makundi
Bocco: Hatutabweteka na rekodi za kwa Mkapa
Nahodha John Bocco, amesema hatupaswi licha ya kuwa na rekodi nzuri tunapokuwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa hasa kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika hawapaswi
Simba kamili kuivaa AS Vita kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola ameweka wazi hali ya kikosi kuelekea mchezo wa kesho wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita wachezaji wote wapo tayari
Onyango kidedea tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki
Mlinzi wa kati Joash Onyango, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) baada ya kuwashinda mlinda