read
news & Articles
Chama, Kapama wasimamishwa
Uongozi wa klabu umewasimamisha wachezaji wawili viungo, Clautos Chama na Nassor Kapama kutokana na vitendo vya utovu wa nidhamu. Kufuatia vitendo hivyo wachezaji hao watapelekwa
Tumepangwa kundi B Mapinduzi Cup
Makundi ya michuano ya Mapinduzi mwaka 2024 yamepangwa na kikosi chetu kimepangwa kundi B. Kikosi chetu kimepangwa pamoja na timu za Jamhuri ya Zanzibar, Singida
Queens yaanza kwa kishindo SWPL
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeanza vema Serengeti Lite Women’s Premier League (SLWPL) baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Ceasiaa katika
Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Ceasiaa Queens
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Ceasiaa Queens katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite Women’s Premier
Mwana FA akabidhi pesa za goli la mama
Naibu Waziri wa Sanaa Utamaduni na Michezo, Mh. Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ amemkabidhi nahodha msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ milioni 10 kwa ajili pesa za
Tumechukua pointi tatu kwa Wydad
Kikosi chetu kimeondoka na pointi zote tatu nyumbani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Wydad Casablanca katika mchezo wa hatua ya