read
news & Articles

Pablo anena ushindi dhidi ya Orlando
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi furaha yake ya ushindi wa bao moja nyumbani tuliopata dhidi Orlando Pirates akisema unatupa faida kwenye mchezo wa marudiano

Tumeingiza mguu mmoja Nusu Fainali Shirikisho
Ushindi wa bao moja tuliopata katika uwanja wa nyumbani dhidi ya Orlando Pirates umetufanya kuingiza mguu mmoja katika Nusu Fainali ya Michuano ya Kombe la

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Orlando
Mshambuliaji Chris Mugalu na Bernard Morrison wamepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates. Mugalu

Tumejipanga kumaliza kazi leo kwa Mkapa
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali

Kinana Mgeni rasmi mchezo wetu dhidi ya Orlando
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Comrade Abdulrahman Kinana anatarajiwa kuwa mgeni rasmi wa mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika

Pablo: Tuko tayari kwa Orlando
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesema kikosi kiko tayari kwa ajili ya mchezo wa Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa kesho katika