read
news & Articles

Tumezipata pointi tatu za nyumbani
Tumefanikiwa kupata pointi tatu muhimu katika uwanja wa nyumbani baada ya kuifunga RS Berkane kutoka Morocco bao moja katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika

Kibu kwa mara ya kwanza michuano ya Afrika Leo
Mshambuliaji Kibu Denis ameanza kwenye kikosi chetu kitakacho tuwakilisha dhidi ya RS Berkane ikiwa ni mara ya kwanza kucheza michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika

Jambo letu kwa Mkapa leo ni pointi tatu tu…
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 10 jioni kuikabili RS Berkane kutoka Morocco katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ambapo

Alichosema Zimbwe Jr kuelekea mchezo wa kesho
Nahodha Msaidizi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ ameweka wazi kuwa wachezaji wapo kamili kuikabili RS Berkane katika mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika utakaopigwa

Pablo: Tunahitaji kuichapa Berkane nyumbani
Kocha Mkuu Pablo Franco, amesisitiza kuwa tunahitaji kupata alama tatu katika mchezo wa kesho wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya RS Berkane utakaopigiwa Uwanja

Huyu hapa Mgeni rasmi mchezo wetu dhidi ya RS Berkane
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mh. Omari Said Shaaban atakuwa mgeni rasmi katika mchezo wetu wa Kombe la
