
Mpango Umekamilika, Tumemaliza Vinara Shirikisho
Ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya CS Constantine katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika umetufanya kumaliza
Ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya CS Constantine katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika umetufanya kumaliza
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili CS Constantine kutoka Algeria katika mchezo wa mwisho wa hatua ya
Kocha Mkuu, Fadlu Davids amesema pamoja na umuhimu mkubwa uliopo wa kutafuta alama tatu katika mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Kombe
Uongozi wa klabu ukishirikiana na Mo Dewji Foundation umetoa zawadi mbalimbali katika Kituo chenye uhitaji cha Sinza ikiwa sadaka kuelekea mchezo wetu wa Kombe
Menejimeti ya Klabu imepokea maoni mbalimbali kutoka kwa wadau na Wanachama kuhusu faini iliyotolewa na Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) ya kufungiwa kuingiza
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema licha ya kufanikiwa kufuzu kutinga robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini bado hatujamaliza
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema amefurahi kwa kufuzu Robo Fainali Shirikisho Afrika tukiwa na mchezo mkononi lakini ameweka wazi tulistahili kupata ushindi mnono dhidi
Sare ya kufungana bao tuliyopata ugenini dhidi ya Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa hatua ya makundi umetufanya kufuzu moja kwa moja
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola kuikabili Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa hatua
Saa moja usiku wa leo kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Novemba 11 nchini Angola kuikabili Bravos Do Marquis katika mchezo wa tano wa