read
news & Articles

Fadlu: Mchezo wa Coastal utatupa mwanga kuelekea ufunguzi wa Ligi
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema mchezo wa kesho wa kutafuta mshindi wa tatu wa Ngao ya Jamii utatuweka kwenye nafasi nzuri kuelekea mechi ya kwanza

Tumepoteza mchezo wa Ngao ya Jamii
Mchezo wetu wa Ngao ya Jamii umemalizika kwa kupoteza kwa bao moja dhidi ya watani wetu Yanga mtanange uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mchezo ulianza

Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Yanga
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Nusu Fainali Ngao ya Jamii.

Tupo tayari kwa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii
Leo saa moja usiku kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kuikabili Yanga kwenye mchezo wa Nusu Fainali Ngao ya Jamii.

Fadlu: Tunahitaji Ushindi katika Mchezo wa Kesho
Kocha Mkuu Fadlu Davids amesema pamoja nakuwa tumepata wiki tatu za maandalizi kuelekea msimu ujao wa ligi lakini tunahitaji kupata ushindi katika mchezo wa kesho

