read
news & Articles

Simba Queens yapaa kuelekea Ethiopia
Kikosi chetu cha Simba Queens kimeondoka nchini kuelekea Ethiopia kwa ajili ya kushiriki michuano ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Simba Queens imeondoka na kikosi

VIDEO: Mgunda aelezea maandalizi ya timu kuelekea michuano ya CECAFA
Kocha Mkuu wa Simba Queens, Juma Mgunda amesema maandalizi ya timu kuelekea michuano ya CECAFA yamekamilika na kikosi kipo tayari kwa ajili ya mashindano. Mgunda

VIDEO: Queens yautaka ubingwa wa CECAFA
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo la letu ni kushinda taji la michuano ya CECAFA ambayo itaanza kutimua vumbi mwishoni mwa

Tumeibuka na ushindi dhidi ya Coastal
Mchezo wetu wa kutafuta mshindi wa tatu wa Ngao ya Jamii dhidi ya Coastal Union uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa kupata ushindi wa

Kikosi kilichopangwa kuikabili Coastal Union
Kikosi chetu leo saa tisa alasiri kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Coastal Union katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu wa Ngao ya

Timu yafanya mazoezi ya mwisho Mo Arena
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa kutafuta mshindi wa tatu dhidi ya Coastal
