read
news & Articles
Simba yasaini mkataba wa bilioni mbili na Vunjabei
Klabu ya Simba imeisaini mkataba wa miaka miwili na kampuni ya Vunjabeigroup wa kutengeneza na kusambaza jezi za timu ya wakubwa, wanawake na vijana wenye
Simba yarejea Mwanza kuisubiri Kagera Sugar
Kikosi chetu leo kimerejea jijini Mwanza ambapo moja kwa moja kimeanza maandalizi ya mchezo ujao wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Jumatano katika
Matola ataja siri ya ushindi mwembamba
Kocha Msaidizi, Suleiman Matola amesema Mwadui walicheza kwa nidhamu kubwa dhidi yetu hatua iliyosababisha kupata ushindi mwembamba wa bao moja. Amesema Mwadui walifahamu ubora wetu
Zimebaki pointi mbili tu tukae ‘mahala petu’
Ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Mwadui FC katika Uwanja wa CCM Kambarage umetufanya kubakisha alama mbili kabla ya kurejea kileleni mwa msimamo wa
Gomez awabadilishia gia angani Mwadui, Luis aanzia benchi Chikwende ndani
Kocha Mkuu, Didier Gomez amefanya mabadiliko kidogo kwenye kikosi cha kwanza kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui FC utakaofanyika Uwanja wa
Simba kuanza kuzisaka pointi za Kanda ya Ziwa kwa Mwadui Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga katika kuzisaka alama tisa za Kanda ya Ziwa kwa kuikabili Mwadui