read
news & Articles

Tupo kwa Mkapa Leo kuikabili Kagera
Kikosi chetu leo kitashuka katika dimba la Benjamin Mkapa saa moja usiku kuikabili Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC ambao tunataraji utakuwa

Queens yaichakaza The Tigers Arusha
Timu yetu ya Simba Queens imeendeleza moto wake katika Ligi ya Wanawake Serengeti Lite Womens Premier League baada ya kuichapa The Tigers Queens mabao 3-0

Kauli ya Pablo kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa mchezo wa kesho wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Kagera Sugar utakuwa ngumu kutokana na ubora wa

Sportpesa yatoa mamilioni kufika robo fainali Shirikisho
Wadhamini wetu wakuu kampuni ya michezo ya kubahatisha ya Sportpesa imetupatia kitita cha Sh milioni 50 (50,000,000) kwa kufanikiwa kutinga Robo Fainali ya Michuano ya

Pablo: Hatujakata tamaa na Ubingwa wa Ligi
Kocha Mkuu Pablo Franco, ameweka wazi kuwa bado hatujakata tamaa na ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC kwa sababu tuna mechi nane zimebaki kabla ya

Tumechukua tatu muhimu kutoka kwa Ruvu Shooting
Kikosi chetu kimefanikiwa kuondoka na alama zote tatu baada ya kuichakaza Ruvu Shooting mabao 4-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa