read
news & Articles

Timu yafanya mazoezi TPC Moshi kujiandaa na Polisi
Kikosi chetu kimefanya mazoezi katika Uwanja wa Limpopo TPC Mjini Moshi mkoani Kilimanjaro ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wetu ujao wa Ligi Kuu

Tumeruhusiwa kujaza uwanja dhidi ya Orlando, viingilio vyatajwa
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki wote 60,000 kujitokeza katika mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando

Zimbwe Jr afunguka ushindi dhidi ya Coastal
Nahodha msaizidi Mohamed Hussein ‘Zimbwe Jr’ amesema ushindi wa mabao 2-1 tuliopata dhidi ya Coastal Union ulikuwa muhimu kwetu kwa kuwa tunataka kupunguza idadi ya

Kagere arejesha furaha dakika za majeruhi
Bao lililofungwa na mshambuliaji Meddie Kagere dakika za majeruhi kabla ya kipenga cha mwamuzi limetuwezesha kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union

Mugalu, Chama kuongoza mashambulizi dhidi ya Coastal
Mshambuliaji Chris Mugalu na Clatous Chama wataongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Uwanja wa

Tupo tayari kwa ‘battle’ la Wagosi Mkwakwani leo
Kikosi chetu leo kitashuka katika Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya’ katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakaoanza saa
