read
news & Articles
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/238838978_2012465548912450_4536941415169193481_n-300x200.jpg)
Simba yazidi kujifua nchini Morocco
Simba yazidi kujifua nchini Morocco Kikosi chetu leo Ijumaa Agosti 20 kimetimiza siku 10 nchini Morocco ambapo kinaendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/239819786_2011337639025241_5774469721330277941_n-260x300.jpg)
Jimmyson Mwanuke ni Mwekundu
Kiungo mshambuliaji, Jimmyson Steven Mwanuke amejiunga na timu yetu kutoka Gwambina FC tayari kwa ajili ya kampeni za msimu mpya wa ligi. Mwanuke ni mmoja
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/Abdulsamad-260x300.jpg)
Rasmi Abdulsamad ni Mwekundu
Kiungo mkabaji Abdulsamad Kassim Ally, amejiunga na kikosi chetu akitokea Kagera Sugar tayari kwa ajili ya msimu mpya wa ligi 2021/22. Abdulsamad amelivutia benchi la
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/236994998_2010590729099932_7869104740792612928_n-300x200.jpg)
Duncan aanza mazoezi Morocco
Nyota wetu mpya Duncan Nyoni ameanza mazoezi rasmi na wachezaji wenzake hapa kambini nchini Morocco. Duncan raia wa Malawi amejiunga leo kambini na moja kwa
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/mwenda-260x300.jpg)
Israel Patrick ni Mwekundu
Mlinzi wa kulia Israel Patrick Mwenda, amejiunga na kikosi chetu akitokea Timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC). Mwenda amekuwa kwenye kiwango bora msimu uliopita akiwa
![](https://simbasc.co.tz/storage/2021/08/henock-240x300.jpeg)
Henock Inonga ni Mwekundu
Mlinzi wa kati Henock Inonga Baka raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na kikosi chetu kutoka DC Motema Pembe. Baka maarufu Varane tayari
![](https://simbasc.co.tz/storage/2023/09/Lakred-scaled.jpg)