read

news & Articles

Simba yazidi kujifua nchini Morocco

Simba yazidi kujifua nchini Morocco Kikosi chetu leo Ijumaa Agosti 20 kimetimiza siku 10 nchini Morocco ambapo kinaendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na

Jimmyson Mwanuke ni Mwekundu

Kiungo mshambuliaji, Jimmyson Steven Mwanuke amejiunga na timu yetu kutoka Gwambina FC tayari kwa ajili ya kampeni za msimu mpya wa ligi. Mwanuke ni mmoja

Rasmi Abdulsamad ni Mwekundu

Kiungo mkabaji Abdulsamad Kassim Ally, amejiunga na kikosi chetu akitokea Kagera Sugar tayari kwa ajili ya msimu mpya wa ligi 2021/22. Abdulsamad amelivutia benchi la

Duncan aanza mazoezi Morocco

Nyota wetu mpya Duncan Nyoni ameanza mazoezi rasmi na wachezaji wenzake hapa kambini nchini Morocco. Duncan raia wa Malawi amejiunga leo kambini na moja kwa

Israel Patrick ni Mwekundu

Mlinzi wa kulia Israel Patrick Mwenda, amejiunga na kikosi chetu akitokea Timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC). Mwenda amekuwa kwenye kiwango bora msimu uliopita akiwa

Henock Inonga ni Mwekundu

Mlinzi wa kati Henock Inonga Baka raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amejiunga na kikosi chetu kutoka DC Motema Pembe. Baka maarufu Varane tayari

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC