read
news & Articles

Kauli ya Kocha Gomez baada ya ushindi dhidi ya Kagera Sugar
Baada ya kufanikiwa kuingia robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup kwa kuifunga Kagera Sugar mabao 2-1, Kocha Mkuu Didier Gomez amesema malengo

Simba yatinga robo fainali ASFC
Kikosi chetu kimeingia robo fainali ya michuano ya Azam Sports Federation Cup baada ya kuifunga Kagera Sugar mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa

Hiki hapa kikosi cha Gomez dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu, Didier Gomez na wasaidizi wake wamepanga kikosi kamili kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho la Azam hatua ya 16 bora dhidi ya Kagera

Simba yapewa Kaizer Chiefs Mabingwa Afrika
Droo ya michuano ya Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali imetoka leo ambapo tumepangwa na Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini. Mchezo wa mkondo wa

Kapombe bado yupo sana
Mlinzi wa kulia Shomari Kapombe, amesaini mkataba mpya wa miaka mitatu utakaoendelea kumuweka klabuni hadi mwaka 2024. Kapombe ni miongoni mwa wachezaji ambao tangu waliposajiliwa

Watatu kuchuana tuzo ya mchezaji bora mwezi Aprili
Nyota watatu wameingia kwenye kinyang’anyiro cha kumtafuta mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Aprili (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month). Nyota hao waliongia