read
news & Articles

Timu yatua salama Sudan
Baada ya saa kadhaa angani hatimaye kikosi chetu kimewasili salama nchini Sudan tayari kwa mechi mbili za kirafiki za kimataifa kutokana na mwaliko tuliopata kutoka

Timu kupaa alfajiri kuelekea Sudan
Kikosi chetu kitaondoka kesho saa 10 Alfajiri kuelekea Khartoum, Sudan tayari kwa mechi mbili za kirafiki za kimataifa baada ya kupata mwaliko maalumu kutoka kwa

Queens yaifuata SHE Corporates Fainali CECAFA
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kutinga Fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati CECAFA baada ya

Kikosi cha Queens kitakachotuwakilisha dhidi ya AS Kigali
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens leo itashuka katika Uwanja wa Azam Complex saa moja usiku kuikabili AS Kigali kwenye mchezo wa Nusu Fainali

Queens iko tayari kwa Nusu Fainali CECAFA Kesho
Nahodha wa timu yetu ya Simba Queens, Fatuma Issa ‘Fetty Densa’ amesema kikosi kiko tayari kwa mchezo wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ukanda

Phiri: Najisikia furaha kuwa sehemu ya mafanikio haya madogo
Mshambualiaji wetu mpya Moses Phiri, amefunguka kuwa anafurahia kuwa sehemu ya mafanikio tuliyopata katika mechi mbili za kwanza za ligi. Phiri amesema anafurahia kuwa sehemu