read
news & Articles

Barbara ashukuru mwitikio Simba App
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, amewashukuru wana Simba kwa namna walivyojitokeza kwa wingi kupakua Simba App. Gonzalez alisema kitendo cha kupata watumiaji wa

Gomez: Morocco ilikuwa safi
Kocha Mkuu wa Simba, Didier Gomez da Rosa, amesema kambi ya Morocco ni msingi muhimu wa maandalizi ya msimu ujao wa mashindano unaoanza mwezi huu.

Simba Queens, Lady Doves hakuna mbabe
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens, kimetoka sare ya bila kufungana na Lady Doves ya Uganda katika mchezo wa pili wa Michuano

Oppa kuongoza mashambulizi dhidi ya Lady Doves
Mshambuliaji kinara wa Simba Queens, Oppah Clement atakiongoza kikosi chetu katika mchezo wa pili wa Michuano ya Caf Women’s Champions League Cecafa Qualifier 2021 dhidi

Banda: Simba miongoni mwa timu tatu bora Afrika
Mchezaji mpya wa kimataifa wa Simba, Peter Banda, amesema kilichomfanya ajiunge na Wekundu wa Simba ni tamaa yake ya kuchezea mojawapo ya timu kubwa za

Kauli ya Kocha Hababuu kuelekea mchezo wa Kesho, Oppah arejea kundini
Kocha Mkuu wa Timu ya Wanawake ya Simba Queens, Hababuu Ally ameweka wazi kuwa tumejipanga kuhakikisha tunaibuka na ushindi dhidi ya Lady Doves kesho ili