read
news & Articles
Mazoezi ya mwisho Ali Hassan Mwinyi
Kikosi kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United.
Kauli ya Kocha Matola kuelekea mchezo wa kesho dhidi ya Tabora
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema wachezaji wapo kwenye hali nzuri kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa katika
Kikosi chawasili salama Tabora
Kikosi kimewasili salama mkoani Tabora kutoka Kigoma tayari kwa mchezo wa Jumanne wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United utakaopigwa Uwanja wa Ali
Tumeondoka na alama tatu Kigoma
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Mashujaa FC uliopigwa katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma umemalizika kwa kufanikiwa kupata ushindi wa
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mashujaa Leo
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma kuikabili Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Nyota
Inonga aisaidia DR Congo kutinga nusu fainali AFCON
Mlinzi wetu wa kati Henock Inonga amekuwa muhimili mkubwa katika kuisaidia timu yake ya DR Congo kutinga nusu fainali ya michuano ya AFCON inayoendelea nchini