read
news & Articles
Ahmed: Tumeleta mechi Mwanza kwa kutambua umuhimu wenu
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu, Ahmed Ally amesema lengo la kuileta mechi yetu ya Ligi Kuu dhidi ya Azam FC ni kuwathamini mashabiki wetu
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili Geita Queens
Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuikabili Geita Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake. Hiki hapa
Matola: Tupo tayari kwa Azam FC Kesho
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa
Mgosi: Tupo tayari kwa Geita Queens Kesho
Kocha Msaidizi wa Simba Queens, Mussa Hassan Mgosi amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake dhidi
Tumepata pointi tatu Ali Hassan Mwinyi
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mnono wa mabao 4-0 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa
Tupo Ali Hassan Mwinyi kuikabili Tabora Leo
Leo saa 10 jioni tunashuka katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi kuikabili Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tutaingia katika mchezo wa