read
news & Articles

Queens yafanya mazoezi ya mwisho
Kikosi cha Simba Queens kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Veterani kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya Wanawake dhidi ya Alliance

VIDEO: Mazoezi ya kwanza baada ya kikosi kurejea
Kikosi kimeanza mazoezi ya gym kuweka miili sawa baada ya mapumziko ya wiki mbili waliyopata wachezaji tangu kumalizika kwa michuano ya Kombe la Mapinduzi. Tazama

Tumetoka sare na Bunda Queens
Kikosi chetu cha Simba Queens kimetoka sare ya bila kufungana na Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa katika Uwanja wa Karume

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Bunda Queens
Kikosi cha Simba Queens kitashuka katika Uwanja wa Karume Musoma kuikabili Bunda Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake raundi ya sita utakaopigwa saa

Nyota wetu wote sita wameshuka dimbani Leo kusaidia mataifa yao AFCON
Katika michuano ya AFCON inayoendelea nchini Ivory Coast kikosi chetu kimefanikiwa kutoa wachezaji sita kutoka mataifa matatu. Wachezaji wote leo wameshuka dimbani kusaidia mataifa yao

Mangungu: Tumefanya mambo makubwa Simba
Mwenyekiti wa klabu, Murtaza Mungungu amesema Uongozi wa klabu umefanya mambo mengi ya mendeleo kwa timu na yanayonekana. Mangungu ameyasema hayo katika Mkutano Mkuu wa