read
news & Articles

Hii hapa safari yetu iliyotufikisha fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi chetu leo saa 2:15 usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Mlandege katika mchezo wa fainali ya michuano ya Mapinduzi. Mpaka kufikia

Timu yafanya mazoezi mwisho kujiandaa na Mlandege Kesho
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa nje wa New Amaan Complex kujiandaa na mchezo wa kesho wa fainali ya Kombe la Mapinduzi

Maandalizi ya FainalI Kombe la Mapinduzi yamekamilika
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa kesho wa fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mlandege yamekamilika. Matola amesema wachezaji wote wapo

Karibu Nyumbani Jentrix Shikangwa
Mshambuliaji nyota Jentrix Shikangwa amerejea katika kikosi cha Simba Queens kutoka Beijing Jingtan ya China baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja. Jentrix raia wa

Matola: Tulitegemea mechi dhidi ya Singida ingekuwa ngumu
Kocha Msaidizi wa timu yetu, Seleman Matola amesema tulitegemea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Singida Fountain Gate katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la

Tumetinga Fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Singida Fountain Gate kwa mikwaju ya penati 3-2 kufuatia kutoka sare