read
news & Articles
Tumemaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi
Ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya JKT Tanzania katika Uwanja wa Meja Jenerali Michael Isamuhyo siku ya Alhamisi umekamilisha mzunguko wa kwanza wa Ligi
Inonga arejea kikosini
Mlinzi wa kati Henock Inonga amerejea kikosini baada ya kumaliza majukumu ya timu yake ya Taifa ya DR Congo iliyokuwa inashiriki michuano ya AFCON iliyomalizika
Tumemaliza Mzunguko wa kwanza TWPL tukiwa kileleni
Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (TWPL) umemalizika huku kikosi cha Simba Queens kikiwa kileleni mwa msimamo. Ligi ya Wanawake ambayo inashirikisha
Mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar umeahirishwa
Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB) imeahirisha mchezo wetu dhidi ya Mtibwa Sugar ambao ulipangwa kucheza Jumapili ya Februari 18 katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
Highlights: JKT Tanzania 0-1 Simba
Mchezo wetu wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania uliopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Michael Isamuhyo umemalizika kwa kuibuka na ushindi wa bao
Tumepata Pointi tatu Meja Jenerali Isamuhyo
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao moja katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania uliopigwa Uwanja wa Meja Jenerali