Kikosi charejea mazoezini kujiandaa na Azam
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya gym kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya gym kujiandaa na mchezo ujao wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Azam FC utakaopigwa Uwanja wa Benjamin
Licha ya kupoteza kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya Red Arrows tumefanikiwa kutinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na uwino
Timu yetu inarejea katika michuano ya kimataifa ambayo mara nyingi tumekuwa tukipeperusha vema bendera ya nchi ambapao tumekuwa miongoni mwa miamba 10 bora Afrika
Baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting, Kocha Mkuu Pablo Franco ameweka wazi kuwa pointi tatu tulizopata ni muhimu na zitaongeza
Kikosi chetu leo kitaanza mazoezi kujiandaa na mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa Novemba 19, Uwanja wa CCM Kirumba jijini
Kikosi chetu cha Timu ya Wanawake ya Simba Queens, kitakuwa chini ya kocha mzoefu Sebastian Nkoma ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kukinoa. Nkoma
Nahodha John Bocco amepangwa kuongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy utakaopigwa leo saa 10
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo limetangaza utoaji wa tuzo mbalimbali katika mashindano yote ya msimu wa 2020/21 huku timu yetu ikitawala kwa karibu
Kocha Didier Gomes leo ameamua kuanza na washambuliaji wawili Medie Kagere na John Bocco katika mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu dhidi ya Biashara
Klabu yetu imeingia mkataba wa miaka miwili na Kampuni ya Emirate Aluminium ACP wenye thamani ya Sh milioni 300 kwa ajili ya kutoa motisha