Tuna kibarua kigumu dhidi ya CS Sfaxien usiku wa leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja Hammadi Agrebi – Tunis kwa ajili ya kuikabili CS Sfaxien katika mchezo wa nne wa
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja Hammadi Agrebi – Tunis kwa ajili ya kuikabili CS Sfaxien katika mchezo wa nne wa
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Ken Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa KMC
Simba Queens imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa Uwanja wa Samora
Wachezaji wa Simba Queens jana na leo wamefanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2024/25. Vipimo hivyo vimegawanyika
Tumefikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wetu Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka mkoani Kagera baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi
Kikosi chetu leo 12:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Tabora United katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia kwenye mchezo
Kiungo mkabaji Fabrice Ngoma amechaguliwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka 2024. Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za
Mchezo wetu wa pili wa Kombe la Mapinduzi uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi
Jana tumefahamu tutacheza na mabingwa wa Zambia Power Dynamos katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/24. Mechi ya kwanza