![](https://simbasc.co.tz/storage/2024/07/54f2d604-6d19-4a89-8dda-11a692028e5c-scaled.jpeg)
Queens wafanyiwa Vipimo vya Afya
Wachezaji wa Simba Queens jana na leo wamefanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2024/25. Vipimo hivyo vimegawanyika
Wachezaji wa Simba Queens jana na leo wamefanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuanza maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2024/25. Vipimo hivyo vimegawanyika
Tumefikia makubaliano ya kumuajiri Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini mwenye umri wa miaka 43 kuwa Kocha wetu Mkuu kwa mkataba wa miaka miwili.
Kikosi chetu kimewasili salama jijini Dar es Salaam usiku huu kutoka mkoani Kagera baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi
Kikosi chetu leo 12:15 jioni kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Tabora United katika muendelezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia kwenye mchezo
Kiungo mkabaji Fabrice Ngoma amechaguliwa mchezaji bora wa michuano ya Kombe la Mapinduzi mwaka 2024. Ngoma ameonyesha kiwango bora katika mechi zote sita za
Mchezo wetu wa pili wa Kombe la Mapinduzi uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi
Jana tumefahamu tutacheza na mabingwa wa Zambia Power Dynamos katika hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2023/24. Mechi ya kwanza
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahi ubora wa kikosi tulichonacho kuelekea msimu mpya wa mashindano 2023/24 huku akiweka wazi malengo yetu ni kuchukua mataji
Timu yetu ya Simba Queens leo saa 10 jioni itashuka katika Uwanja wa Uhuru kuikabili Amani Queens katika mchezo wa Ligi ya Wanawake ya
Kikosi chetu kimewasili salama nchini Morocco tayari kwa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca utakaopigwa