April 8, 2021 ShareTwitterFacebook Gomez: Tunataka kuonyesha tulistahili kuwa vinara Licha ya kukiri mchezo wa kesho ambao ni wa mwisho katika hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Ahly utakuwa mgumu, Kocha Mkuu, Didier Gomez amesema tunahitaji kuonyesha kiwango bora ili kudhihirisha uwezo wetu. Kocha Gomez amesema…