
Tumetolewa ASFC
Mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umemalizika kwa kupoteza
Mchezo wetu wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza umemalizika kwa kupoteza
Mechi yetu ya Ligi Kuu ya NBC ya Derby dhidi ya Yanga iliyofanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa imemalizika kwa sare ya bila kufungana. Mchezo
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho jioni katika Uwanja wa Orlando kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya pili ya michuano ya Kombe la
Mlinzi wa kati Pascal Wawa amefunguka kuwa timu itahakikisha tunapambana katika mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates kupata
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewaongoza mashabiki na wapenzi wa Simba Kigamboni kuhamasisha kuelekea mchezo wetu wa Robo Fainali ya
Kocha Mkuu Pablo Franco, amefanya mabadiliko ya wachezaji wanane katika kikosi kitakachoshuka dimbani leo kuikabili Polisi Tanzania katika Uwanja wa Ushirika ukilinganisha na kile
Mshambuliaji Chris Mugalu na Clatous Chama wataongoza mashambulizi katika mchezo wetu wa leo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Coastal Union utakaopigwa Uwanja
Kocha Mkuu Pablo Franco na kiungo mshambuliaji Clatous Chama, wame wameng’ara katika Tuzo za Ligi Kuu ya NBC za mwezi Machi. Pablo amechaguliwa Kocha
Uongozi wa klabu umewatoa hofu mashabiki ambao wamepanga kujitokeza katika mchezo wetu wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Gandarmerie ambapo utapigwa saa
Winga Peter Banda, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Banda amewapiku kiungo mshambuliaji,