read
news & Articles
Ngoma, Lakred wang’ara Kombe la Muungano
Nyota wetu wawili kiungo mkabaji Fabrice Ngoma na mlinda mlango Ayoub Lakred wameng’ara katika michuano ya Kombe la Muungano iliyomalizika Visiwani Zanzibar. Ngoma ameibuka mchezaji
Tumechukua tena ubingwa wa Kombe la Muungano
Kikosi chetu kimefanikiwa kuibuka na ubingwa wa michuano ya Kombe la Muungano baada ya kuifunga Azam FC katika mchezo uliopigwa Uwanja wa New Amaan Complex
KIkosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Azam
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano. Kocha
Tabiri kikosi kitakachopagwa dhidi ya Azam Leo
Kikosi chetu leo saa mbili usiku kitashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Azam FC kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Muungano. Tabiri
Alichosema Matola kuelekea mchezo wa kesho wa Fainali dhidi ya Azam
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema mchezo wa kesho wa fainali ya michuano ya Kombe la Muungano dhidi ya Azam FC utakuwa mgumu kutokana na kukutanisha
Alichosema kocha Mgunda baada ya ushindi dhidi ya Yanga
Kocha Mkuu wa Simba Queens Juma Mgunda amesema licha ya ushindi wa mabao 3-1 tuliopata dhidi ya Yanga Princess lakini haikuwa mechi rahisi. Mgunda amesema