read
news & Articles
Nyota 24 waliosafiri kuifuata Al Ahly Misri
Kikosi chetu kimesafiri jioni kuelekea nchini Misri tayari kwa mchezo wa marudiano wa African Football League (AFL) dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Jumanne jijini Cairo.
Robertinho afafanua sababu ya kutoanza na namba tisa dhidi ya Al Ahly
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefafanua kuwa sababu ya kutoanza namba tisa asilia katika mchezo wa ufunguzi wa African Football League (AFL) dhidi ya Al
Tumeanza kwa sare ufunguzi wa AFL
Mchezo wetu wa ufunguzi wa michuano ya African Football League (AFL) dhidi ya Al Ahly kutoka Misri uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa umemalizika kwa sare
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Ahly
Leo saa 12 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Al Ahly katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya African Football League
Motsepe: AFL imekuja kuongeza uchumi wa klabu
Rais wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Patrick Motsepe amesema lengo la michuano ya African Football League (AFL) ni kuzisaidia klabu za Afrika kiuchumi.
Tunaenda kuandika historia kwa Mkapa leo
Historia mpya ya soka inawekwa leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ambapo kikosi chetu kitakutana na miamba ya Misri, Al Ahly katika uzinduzi wa michuano