read
news & Articles
Alichosema Robertinho kuelekea Mchezo wa Kesho dhidi ya Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utakuwa mgumu
Timu yarejea jijini Dar es Salaam
Kikosi chetu kimerejea salama jijini Dar es Salaam kutoka nchini Misri baada ya jana kucheza na Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa African Football
Robertinho awapongeza wachezaji kwa kuipigania timu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amewapongeza wachezaji kwa kupambana hadi mwisho licha ya kutolewa na Al Ahly kwa faida ya bao la ugenini. Robertinho amesema
Hatukufanikiwa kutinga nusu fainali ya AFL
Sare ya kufungana bao moja ugenini dhidi ya Al Ahly haijaweza kutusaidia kutinga nusu ya African Football League (AFL) kutokana wa wapinzani wetu kunufaika na
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Ahly
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefanya mabadiliko ya wachezaji wawili katika mchezo wa leo dhidi ya Al Ahly ukilinganisha na kile kilichocheza mchezo wa kwanza
Tupo tayari kumalizia Kazi tuliyoanza kwa Mkapa
Kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Cairo International leo saa 11 jioni kuikabili Al Ahly katika mchezo wa marudiano wa African Football League Katika mchezo