read
news & Articles
Robertinho: Haikuwa rahisi kuifunga Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahia ushindi wa mabao 2-1 tuliopata dhidi ya Ihefu kutokana na mchezo kuwa mgumu. Robertinho amesema ratiba imekuwa ngumu sababu
Tumechukua Pointi tatu za Ihefu
Timu yetu imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Ihefu FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha Mkuu, Roberto Oliviera
Tunarejea Ligi Kuu kwa kuikaribisha Ihefu Leo
Kikosi chetu leo saa moja usiku kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Ihefu kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunashuka katika mchezo wa
Timu yafanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na Ihefu
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa Mo Simba Arena kujiandaa na mchezo wa kesho wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Ihefu
Alichosema Robertinho kuelekea Mchezo wa Kesho dhidi ya Ihefu
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Ihefu utakaopigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utakuwa mgumu