read
news & Articles

Tupo Kamili kwa Derby ya Karikakoo
Kikosi chetu leo saa 11 jioni kitashuka katika Uwanja wa Benjamin Mkapa kuikabili Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Tunaingia katika mchezo wa

Matola: Tupo tayari kwa Derby Kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema kikosi chetu kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya watani Yanga utakaopigwa kesho saa

Timu yaanza mazoezi Zanzibar
Kikosi chetu kimefanya mazoezi ya kwanza Visiwani Zanzibar tayari kwa kujiandaa na mechi zetu za Ligi Kuu ya NBC zilizosalia. Kikosi kimewasili hapa Zanzibar saa

Timu yaelekea Zanzibar kuweka kambi
Kikosi chetu kimeondoka mchana kuelekea Zanzibar kwa ajili ya kambi ya siku tatu kujiandaa na mechi zetu za Ligi Kuu ya NBC zilizosalia. Tumeamua kuweka

Queens yapata ushindi dhidi ya Ceasiaa
Timu yetu ya Wanawake ya Simba Queens imefanikiwa kupata ushindi wa bao moja dhidi ya Ceasiaa Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa

Benchikha: Tuna changamoto kwenye kumalizia nafasi
Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha amesema changamoto yetu kubwa iliyopo kwenye kikosi chetu ni kumalizia nafasi tunazotengeneza. Benchikha amesema kila mchezo tunacheza vizuri na kumiliki sehemu
