read
news & Articles
Hawa hapa nyota 22 wanaoifuata Prisons
Kikosi kinaelekea jijini Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Uwanja wa Sokoine siku ya Alhamisi saa
Timu yarejea mazoezini, Kuifuata Prisons Jioni
Kikosi kimefanya mazoezi leo asubuhi kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Alhamisi saa 10 jioni katika Uwanja wa
Robertinho: Nimefurahi kuiwezesha timu kuingia makundi Afrika
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema lengo la kwanza lilikuwa kuhakikisha timu inaingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuitoa Power Dynamos
Tumefuzu hatua ya makundi Afrika
Licha ya sare ya kufungana bao moja dhidi ya Power Dynamos kutoka Zambia katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliopigwa Azam Complex
Kikosi kilichopangwa kuikabili Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Power Dynamos kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika.
Tabiri Kikosi kitakachopangwa dhidi ya Power Dynamos
Leo saa 10 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa Azam Complex kuikabili Power Dynamos kwenye mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Weka