read

news & Articles

VIDEO: Timu yaondoka kuelekea Misri

Kundi la kwanza la kikosi chetu limeondoka jioni kuelekea Misri kwa ajili ya kambi ya wiki tatu ya maandalizi ya msimu mpya wa mashindano 2024/25.

Ayoub Lakred yupo sana Simba

Mlinda mlango Ayoub Lakred amesaini mkataba mpya wa mwaka mmoja wa kuendelea kusalia katika timu yetu. Lakred raia wa Morocco tumemsajili msimu uliopita kutoka FAR

Yusuph Kagoma ni Mnyama

Kiungo mkabaji, Yusuph Kagoma ni mchezaji wetu mpya baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu ya kukitumikia kikosi chetu kutoka Singida Fountain Gate. Kagoma ni

Karaboue Chamou ni Mnyama

Tumefanikiwa kuinasa saini ya mlinzi wa kati Karaboue Chamou raia wa Ivory Coast kutoka klabu ya Racing Club d’ Abidjan kwa mkataba wa miaka miwili.

Valentin Nouma ni Mnyama

Mlinzi wa kushoto Valentin Nouma raia wa Burkina Faso amejiunga nasi kutoka klabu ya St. Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu.

subscribe

sign up for our newsletter:

Get news straight from Simba SC