read
news & Articles

Queens yafanya mazoezi ya mwisho kuivutia kasi Buyenzi
Simba Queens imefanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa TEFSA MEDA kwa ajili ya mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa

Tumetinga Nusu Fainali CECAFA
Ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Kawempe Muslim kutoka Uganda umetuwezesha kutinga Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Ukanda wa Afrika Mashariki na

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Kawempe Muslim
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Abebe Bikila saa tano asubuhi kuikabili Kawempe Muslim kutoka Uganda katika mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika

Queens yafanya mazoezi ya utimamu wa mwili
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili asubuhi katika Uwanja wa TESFA MEDA baada ya ushindi mabao 5-0 tulipata jana dhidi

Mwalala apiga hat trick tukiichakaza bila huruma FAD Djibouti
Mshambuliaji Asha Rashid ‘Mwalala’ amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi mnono wa 5-0 tuliopata dhidi ya FAD Djibouti katika mchezo wa kwanza wa Ligi

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili FAD Djibouti
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Abebe Bikila saa 9:45 mchana kuikabili FAD Djibouti katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika Ukanda wa