read
news & Articles
Rasmi Simba ndani ya Makumbusho ya Taifa
Tumekuwa klabu ya kwanza Tanzania kuweka taarifa na kumbukumbu zetu kwenye Makumbusho ya Taifa ili vizazi vya sasa na vijavyo kupata nafasi ya kutembelea na
Rais Samia Mgeni rasmi Simba Day
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha Tamasha la Simba Day litakalofanyika Jumapili, Agosti 6
Rasmi Uwanja Umejaa
Zikiwa zimesalia siku tatu kabla ya kilele cha Simba Day tiketi zote 60,000 zinazojaza Uwanja wa Benjamin Mkapa zimeuzwa (Sold Out). Hii ni mara ya
Baada ya kambi ya Uturuki Robertinho autaka ubingwa
Kocha Mkuu, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amefurahi ubora wa kikosi tulichonacho kuelekea msimu mpya wa mashindano 2023/24 huku akiweka wazi malengo yetu ni kuchukua mataji ya
Tumezindua Kibegi Part Two Buza
Ikiwa imepita siku moja tangu Kibegi kilichobeba jezi za msimu 2023/24 na kwenda kuzinduliwa juu ya kilele cha Mlima Kilimanjaro kupigwa mnada na kuuzwa kwa
Ahmed awaongoza Wanasimba kuchangia Damu Karume
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally amewaongoza Wanasimba kuchangia damu ikiwa ni uzinduzi wa Wiki ya Simba. Ahmed amechangia damu katika Kituo cha