read
news & Articles

Queens yafanya mazoezi ya utimamu wa mwili
Kikosi chetu cha Simba Queens kimefanya mazoezi ya utimamu wa mwili asubuhi katika Uwanja wa TESFA MEDA baada ya ushindi mabao 5-0 tulipata jana dhidi

Mwalala apiga hat trick tukiichakaza bila huruma FAD Djibouti
Mshambuliaji Asha Rashid ‘Mwalala’ amefunga mabao matatu ‘hat trick’ katika ushindi mnono wa 5-0 tuliopata dhidi ya FAD Djibouti katika mchezo wa kwanza wa Ligi

Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili FAD Djibouti
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Abebe Bikila saa 9:45 mchana kuikabili FAD Djibouti katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika Ukanda wa

Tumefungua Msimu wa 2024/25 kwa ushindi
Mchezo wetu wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC dhidi Tabora United uliopigwa Uwanja wa KMC Complex umemalizika kwa kufanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Tabora United
Leo saa 10:15 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC Complex kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC. Kocha

Tunaanza rasmi msimu wa Ligi Kuu 2024/25
Saa 10:15 jioni kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa KMC kuikabili Tabora United kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 202/25.
