Tumepangwa kundi A Kombe la Shirikisho

Droo ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika iliyofanyika Cairo nchini Misri imekamilika na tumepangwa kundi A.

Sisi ni miongoni mwa timu nne zilizokuwa katika poti A kutokana na idadi ya pointi ilizonazo kwa mujibu wa viwango vya CAF.

Tumepangwa kundi A pamoja na timu za CS SFaxien, CS Constantine, na FC Bravos.

Hili kundi letu lilivyo

1. Simba (Tanzania)
2. ⁠CS SFaxien (Tunisia)
3. ⁠CS Constantine (Algeria)
4. ⁠FC Bravos (Angola)

SHARE :
Facebook
Twitter

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER