read
news & Articles

Bocco: Hatutabweteka na rekodi za kwa Mkapa
Nahodha John Bocco, amesema hatupaswi licha ya kuwa na rekodi nzuri tunapokuwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa hasa kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika hawapaswi

Simba kamili kuivaa AS Vita kesho
Kocha Msaidizi, Seleman Matola ameweka wazi hali ya kikosi kuelekea mchezo wa kesho wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita wachezaji wote wapo tayari

Onyango kidedea tuzo ya Mchezaji Bora wa Mashabiki
Mlinzi wa kati Joash Onyango, amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium Simba Fans Player of the Month) baada ya kuwashinda mlinda

Barbara: Mashabiki tufuate masharti ya CAF mechi na AS Vita
Licha ya kuruhusiwa kuingiza mashabiki 10,000 kwenye mchezo wetu wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa Jumamosi, Mtendaji Mkuu wa Klabu, Barbara Gonzalez

Kikosi kuingia kambini leo, waliokuwa Stars warejea
Kikosi chetu kinaanza kambi rasmi leo jioni kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa Aprili 3, mwaka

Manula, Miquissone, Onyango, watinga fainali Mchezaji Bora wa Mwezi
Mlinda mlango Aishi Manula, kiungo mshambuliaji Luis Miquissone na mlinzi Joash Onyango wameingia fainali ya tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi inayodhaminiwa