read
news & Articles

Onyango, Taddeo warejea mazoezini
Mlinzi wa kati Joash Onyango na kiungo mkabaji Taddeo Lwanga, wamerejea mazoezini baada ya hali zao kiafya kutengemaa kutokana na majeraha waliyopata kwenye mchezo wetu

Bocco akabidhiwa ‘mpunga’ wake na Aluminium Profile
Nahodha John Bocco amekabidhiwa kitita cha Sh 2,500,000 na Kampuni ya Emirate Aluminium Profile baada ya kuibuka mchezaji bora katika mchezo wa marudiano Robo Fainali

Gomes:Tumepata somo msimu ujao hatutashikika
Baada ya kushindwa kufuzu Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika licha ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Kaizer Chiefs, Kocha Mkuu Didier Gomes

Bocco alamba mamilioni ya Emirate Aluminium
Nahodha John Bocco atakabidhiwa kitita cha Sh 2,500,000 na Kampuni ya Emirate Aluminium baada ya kuibuka mchezaji bora wa mchezo wa marudiano wa Robo Fainali

Jitihada haizidi kudra, tunarudi VPL kumalizia kazi
Licha ya ushindi wa mabao 3-0 tuliopata dhidi ya Kaizer Chiefs katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Afrika uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa hatukuweza

Bocco, Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Kaizer
Kocha Didier Gomes amefanya mabadiliko kidogo ya kikosi kuelekea mchezo wa leo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs ambapo ameanza
