read
news & Articles
‘Ahsanteni kwa kutulindia nafasi yetu, hatushuki ng’ooo hadi ubingwa’
Bao pekee lililofungwa na Nahodha Msaidizi, Mohammed Hussein ‘Zimbwe Junior’ katika mchezo dhidi ya Gwambina FC, limetosha kutupandisha kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya

Bocco, Kagere kuongoza mashambulizi dhidi ya Gwambina leo, Morrison ndani
Nahodha John Bocco na kinara wa ufungaji Medie Kagere wataongoza safu ya ushambuliaji kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Gwambina

Simba kuitumia Gwambina kama ngazi ya kurejea kileleni
Timu yetu leo itashuka dimbani kuikabili Gwambina FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania kwenye Uwanja wa Gwambina uliopo Misungwi na endapo tutashinda

Manula afunguka siri ya kiwango chake kwa sasa
Mlinda mlango namba moja, Aishi Manula ametaja siri ya kiwango chake kwa sasa ni kutokana na ushirikiano mkubwa anaoupata kutoka kwenye safu ya ulinzi. Manula

Alichosema Kocha Gomez baada ya ushindi dhidi ya Kagera
Kocha Mkuu, Didier Gomez amefurahishwa na ushindi wa mabao 2-0 tulioupata dhidi ya Kagera Sugar huku akiwamwagia sifa wachezaji kwa kuonyesha kiwango kizuri. Gomez amesema

Simba yailamba sukari ya Kagera Kaitaba
Timu ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliopigwa katika Uwanja wa
