read
news & Articles
Barbara: Mashabiki tufuate masharti ya CAF mechi na AS Vita
Licha ya kuruhusiwa kuingiza mashabiki 10,000 kwenye mchezo wetu wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa Jumamosi, Mtendaji Mkuu wa Klabu, Barbara Gonzalez
Kikosi kuingia kambini leo, waliokuwa Stars warejea
Kikosi chetu kinaanza kambi rasmi leo jioni kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa Aprili 3, mwaka
Manula, Miquissone, Onyango, watinga fainali Mchezaji Bora wa Mwezi
Mlinda mlango Aishi Manula, kiungo mshambuliaji Luis Miquissone na mlinzi Joash Onyango wameingia fainali ya tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi inayodhaminiwa
Kikosi chazidi kujifua kuelekea mechi dhidi ya AS Vita
Kwa siku tatu mfululizo kikosi chetu kimeendelea na mazoezi ya kujiandaa na mchezo ujao wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya AS Vita utakaopigwa Uwanja wa
Kikosi chaanza mazoezi rasmi Mo Simba Arena
Baada ya mapumziko ya wiki moja kikosi kimerejea mazoezini jioni ya leo kwenye viwanja vyetu vya Mo Simba Arena kwa ajili ya kujiweka fiti kujiandaa
Timu kurudi mazoezini kesho kuivutia kasi AS Vita
Kikosi cha wachezaji tisa na timu ya vijana chini ya umri wa miaka 20 kitaanza mazoezi kesho Jumapili kujiweka sawa baada ya mapumziko ya siku