Tumepangwa Kundi C Mapinduzi Cup

Ratiba ya Michuano ya Mapinduzi Cup ambayo hufanyika Januari kila mwaka Visiwani Zanzibar imetoka na tumepangwa Kundi C.

Katika kundi letu zipo timu tatu tukiwa pamoja na Mlandege na Selem View.

Kwa mujibu wa ratiba kikosi chetu kitaanza kampeni hiyo kwa kucheza na Selem View Januari 5 katika Uwanja wa Amani saa 10:15 jioni.

Mchezo wetu wa pili utakuwa Januari 7 dhidi ya Mlendege ambao utafanyika Uwanja wa Amani saa 2:15 usiku.

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER