read
news & Articles
Matola ataja siri ya ushindi mwembamba
Kocha Msaidizi, Suleiman Matola amesema Mwadui walicheza kwa nidhamu kubwa dhidi yetu hatua iliyosababisha kupata ushindi mwembamba wa bao moja. Amesema Mwadui walifahamu ubora wetu
Zimebaki pointi mbili tu tukae ‘mahala petu’
Ushindi wa bao moja tuliopata dhidi ya Mwadui FC katika Uwanja wa CCM Kambarage umetufanya kubakisha alama mbili kabla ya kurejea kileleni mwa msimamo wa
Gomez awabadilishia gia angani Mwadui, Luis aanzia benchi Chikwende ndani
Kocha Mkuu, Didier Gomez amefanya mabadiliko kidogo kwenye kikosi cha kwanza kuelekea mchezo wa leo wa Ligi Kuu dhidi ya Mwadui FC utakaofanyika Uwanja wa
Simba kuanza kuzisaka pointi za Kanda ya Ziwa kwa Mwadui Leo
Kikosi chetu leo saa 10 jioni kitashuka katika Uwanja wa CCM Kambarage mkoani Shinyanga katika kuzisaka alama tisa za Kanda ya Ziwa kwa kuikabili Mwadui
Simba yapiga tizi Kirumba kabla ya kuifuata Mwadui
Kikosi chetu leo kimefanya mazoezi ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza kabla ya kuanza safari ya kuelekea Shinyanga kuikabili Mwadui FC. Mchezo
Simba yawasili salama jijini Mwanza
Kikosi kimetua salama jijini Mwanza tayari kwa mechi tatu za Kanda ya Ziwa ambazo ni Mwadui FC, Kagera Sugar na Gwambina FC. Baada ya kufika