Mugalu kuongoza mashambulizi dhidi ya Mlandege leo

Baada ya muda kupita hatimaye mshambuliaji Chris Mugalu, ameanza katika kikosi cha kwanza kwenye mchezo wetu wa pili wa Michuano ya Mapinduzi dhidi ya Mlandege utakaopigwa Uwanja wa Amani saa 2:15 usiku.

Mara ya mwisho Mugalu kuanza kikosini ilikuwa Oktoba Mosi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji uliopigwa Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma.

Kikosi kamili kilivyopangwa

Aishi Manula (28), Israel Mwenda (5), Gadiel Michael (2), Pascal Wawa (6), Henock Inonga (29),

Jonas Mkude (20), Denis Kibu (38), Mzamiru Yassin (19), Chris Mugalu (7), Pape Sakho (17), Yussuf Mhilu (27)

Wachezaji wa Akiba

Ally Salim, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein, Kennedy Juma, David Udoh, Bernard Morrison,

Medie Kagere, Sadio Kanoute, Cheick Moukoro.

SHARE :
Facebook
Twitter

One Response

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

GET NEWSLETTER