read
news & Articles
Tumetinga Fainali ya Kombe la Mapinduzi
Kikosi chetu kimefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuifunga Singida Fountain Gate kwa mikwaju ya penati 3-2 kufuatia kutoka sare
Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Singida Leo
leo saa 2:15 usiku tunashuka katika Uwanja wa New Amaan Complex kuikabili Singida Fountain Gate katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi. Hiki
Mawaziri Zanzibar watupongeza kwa kutangaza Utalii
Waziri wa Utamaduni Vijana na Michezo Zanzibar, Mh. Tabia Maulid Mwita ameupongeza Uongozi wa klabu kwa maamuzi ya kutangaza vivutio vya Utalii katika kipindi hiki
Maandalizi ya Mchezo dhidi ya Singida FG yanaendelea vizuri
Kocha Msaidizi Seleman Matola amesema maandalizi ya mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi dhidi ya Singida Fountain Gate utakaopigwa kesho katika Uwanja wa
Kikosi cha Queens kilichopangwa kuikabili JKT Queens
Simba Queens itashuka katika Uwanja wa Azam Complex saa 10 jioni kuikabili JKT Queens katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake. Hiki hapa kikosi cha
Alichosema Matola baada ya ushindi dhidi ya Jamhuri
Kocha Msaidizi, Seleman Matola amesema tulistahili kupata ushindi mnono zaidi kama tungezitumia vizuri nafasi tulizotengeneza. Matola amesema tumetengeneza nafasi nyingi hasa kipindi cha kwanza lakini